Lyrics

Alikiba – Mahaba Lyrics

Check Out Alikiba – Mahaba Lyrics Below;

Yooooh Yogoo On The beat!

Siku hizi hakuna mahaba
Yeah mahaba
Mapenzi ya mkataba
Mpaka kufa, yamekwisha

Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha, yanafuja raha
Nafsi yangu inasema
Bora nimpende tu alionizaa

Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinikosha, no

Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinikosha, no

Mwenzako mi nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka yeah
Mi nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka yeah

Skiza kwanza we dada, we dada
Mi sio mgeni yalishanikaba
Mapenzi yalinikausha
Natamani kuwa single
Ila naupwiru unakaba koo
Mabinti wenye vifundo
Hao ndio mi wananitoa roho

Na siri juu ya jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha ooh

Na siri yake juu ya jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha ooh

Mwenzako mi nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka yeah
Mi nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka yeah

Telegram
Shares: