Lyrics

Aslay – Inauma Lyrics

Aslay – Inauma Lyrics. It’s been three days since we broke up, That is the day before yesterday, and the week is not over but she has already got a new boyfriend. That is the message conveyed by Aslay in his new released song tagged Inauma.

Related: Listen to Aslay’s New Single ‘Inauma’

The Tanzanian music star and legend, drops this song few days ago and it has already accumulated a lot of streams in different digital music platforms. This came after a little bit silence since “Mozzah“. We have prepared the song lyrics below;

Tuna siku tatu toka tumeachana
Yaani juzi kuamkia jana
Yaani hata week haijaisha
kinachonisikitisha tayari ameshapata bwana

Halafu hawazi
Haonyeshi dalili ya machozi
Yaani bonge la surprise amenifanyia
Mwili wote umeingiwa ganzi

Ina maana alikuwa ananisaliti
Ndo maana haikupita hata week
Inauma maumivu hayasimuliki

kuona wakipeti peti hadharani

wanajua kunrusha roho
wakiniona ndo wanashikana
malovebite kwenye shingo
kwa mdomo ndo wanalishana

Yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Najikaza kisabuni lakini roho inauma

yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh Yala weeh inauma

Najikaza najikaza lakini ukweli inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Aiyooooooo
lile lile
Aaaah lilele eeh

Jamani mi ndugu yenu ninateseka
Nitahama nivikimbie hivi vibweka
Majirani nao washaanza kunicheka
Nyimbo za mafumbo ameachwa ameachwa
Akili inanituma nikapigane
Ila mwana mbavu kajazia simuwezi

Natamani nimtukane
Ila nikimuona nabaki kigugumizi

Naomba wafe baharini waliwe na papa
Halafu yule papa avuliwe aletwe hapa
Nimle nishibe na miba niwape paka
Wivu umenishika nimechoka nimechoka

Wanajua kunrusha roho
Wakiniona ndo wanashikana
malovebite kwenye shingo
Kwa mdomo ndo wanalishana

Yala weeh yala weeh inauma

Yala weeh yala weeh inauma
Najikaza kisabuni lakini roho inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Yala weeh yala weeh inauma
Najikaza najikaza lakini ukweli inauma
Yala weeh yala weeh inauma

Nasikia wivu
Inamaana magetoni ndiyo haji tena
Mwenzenu Nasikia wivu
Alivyonipa mimi anampa yule bwana
Nasikia wivu
Ooh inauma

Mwenzenu nasikia wivu
Jamani eeh inauma
Nasikia wivu
Inauma
Mwenzenu nasikia wivu
Nasikia nasikia
Nasikia wivu
Eeeh lele
Mwenzenu Nasikia wivu
Unaniumiza wivu

Telegram
Shares: