E-News

Bernard Membe Afariki Dunia

Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Awamu ya 4 na Mgombea Urais kupitia ACT Wazalendo 2020, Bernard Membe, amefariki Dunia katika Hospitali ya Kairuki, Jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa Muda Mfupi

Bernard Membe alihudumu katika nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kutoka Mwaka 2007 hadi 2015.

See also: Mwana FA Ateuliwa Kuwa Naibu Waziri Wa Utamaduni, Sanaa na Michezo

Bernard Membe was a Tanzanian politician who has held various positions in government and political parties. He was a member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and served as the Minister of Foreign Affairs and International Cooperation from 2007 to 2015.

Membe was also a Member of Parliament for Mtama constituency from 2000 to 2015. In 2015, he contested the CCM presidential nomination but lost to John Magufuli. After his loss, Membe resigned from the CCM and joined the opposition ACT Wazalendo party, where he contested the presidential election in 2020 but was defeated by the incumbent President Samia Suluhu Hassan.

Telegram
Shares: