Centano – Mapenzi au Pesa Lyrics
Fast rising Tanzanian artist publicly known as Centano is here presenting the lyrics to his brand new an trending song Mapenzi au Pesa. Check out below.
Niko na mawili kwenye kichwa Mapenzi au pesa
nasiwezi kupoteza vyote uulala,
Hunipi amani unipi pressure
acha ntafute pesa
nasiwezi kupoteza vyote
uuulala uuulala uuulala uulala ulalaa
Hello hello hello i know you love me
hello hello hello i know you need me
Ila tatizo drama, nakujua Unapendwa sana
Unajiona wee wa maana unasumbua sana
Hivi ni kitu gani we hupati
labda sikupi kwa wakati
oh cheza na mwili wangu usicheze na akili
usicheze na hisia zangu usicheze na mimi
maana mtaji wa masikini nguvu zangu mwenyewe
nguvu zangu mwenyewe
Sina baba sina mjomba tajirii
nguvu zangu mwenyewe mwenyewee
Niko na mawili kwenye kichwa Mapenzi au pesa
nasiwezi kupoteza vyote uuulala
Hunipi amani unipi pressure acha ntafute pesa
nasiwezi kupoteza vyote
uuulala uuulala uuulala uuulala ulalaa
Pesa nayo nini nilikosea
mana nanikimbia usiku mchana naiita aitaki kuitikia
vimeumanaa tabu sanaa
vyuma vimekaza inahitaji hekima sana
Namuomba usiku mchana mungu aniipe
Me jasho la mnyonge mungu alifute
natumia akili sana nguvu ndo yote
si unaona babaa bless me babaa
Mtaji wa masikini nguvu zangu mwenyewe
nguvu zangu mwenyewe
sina baba sina mjomba tajirii
nguvu zangu mwenyewe mwenyewee
Niko na mawili kwenye kichwa Mapenzi au pesa
nasiwezi kupoteza vyote uuulala
Hunipi amani unipi pressure
acha ntafute pesa nasiwezi kupoteza vyote
uuulala uuulala uuulala uuulala ulalaa