Lyrics

Jux Ft Zuchu – Nidhibiti Lyrics

Jux Ft Zuchu – Nidhibiti Lyrics

“Nidhibiti” is a song by Jux, a Tanzanian singer and songwriter. The lyrics for this song are written in the Swahili language. The song features Tanzanian and WCB famous female singer Zuchu.

Here we have the lyrics for the song.

Una hali gani unayefanya moyo wangu unadadarika

Niko taabani umeniacha dakika mbili tu nishaboreka

Umeniweka rehani changu kiwiliwili moyo umeuteka

Umeniathiri honey nshaaribika mbaya kwa yako makopa

Kama mapenzi kitabu ungekuwa kurasa ya katikati

Ukichanwa wewe stori haiendelei

Aaaah nakupenda mpaka adhabu baby nahisi kuna hatihati

Ukiniacha wewe walahi mimi sitoboi

BRIDGE

Honey honey (Honey) Wangu wa ubani bani

Mimi ndege wako sa manati ya nini

Nakupa ruhusa weeee!

CHORUS

Nidhibiti nidhibiti nidhibiti

Nakupa ruksa weee!

Nidhibiti nidhibiti nidhibiti

VERSE 2

Ewee baby Eweee baby Mke wangu mume wangu

Mimi na wee hadi milele

Ooooh mbivu ziwe mbichi ni vya kwetu sisi sijali nisharidhia

Yayaah

Wabaya wanafiki watafute viti wakae kwa kutulia hayaaa

Upendo kwetu faradhi umepita tsunaa

Rabiii atuhifadhi mpaka kufika chanaa

Na mimi kwako ni radhi kufa kuzikana

Waambie wavunje nazi si tumeshindakana

BRIDGE

Honey honey (Honey) Wangu wa ubani bani

Mimi ndege wako sa manati ya nini

Nakupa ruhusa weeee!

CHORUS

Nidhibiti nidhibiti nidhibiti

Nakupa ruksa weee!

Nidhibiti nidhibiti nidhibiti2

Telegram
Shares: