Audio

Keysha Ft. Alikiba – Beautiful Lyrics

Keysha Ft. Alikiba – Beautiful Lyrics

Beautiful is a new single dropped by Tanzanian singer Keysha featuring Alikiba, read the song’s lyrics below and sing along.

Kwako nimefata amani

raha na burudani wengine wa kazi gani
eeeh

walisema wazee wa zamani ehh

penzi lina thamani

ila ukishinda mitihani ehh

moyo nilionao ni mmoja mmoja

napenda mmoja ambaye ni wewe

siku usizokuepo ntangoja ngoja

siwezi kuonyesha unachokiona wee

nakukukuu nakukundaga

hasa zile raha unazonipaga

yaani kama chizi navyokuaga

nakupendaaa nakupendagaa hasa zile
raha unazonipaga

yaani kama chizi navyokuaga

it is a beautiful love it is a
beautiful time X 3

I know i sleep with you baby time to
time all the time

only you all over me ah maa oh maa

sipati usingizi yaani siii oh
silallii

kama haupo nyumbanii taabanii

umenikamata oh kamata kwangu talaka
no talaka

Nakama talaka we ndo utanipaa

na ukiniacha mii ntazikwa

mataa wee matataa mtotoo swadakta me
nshadataa

we kopaa me ntalipa

am in love with youu

Unanivundisha vya kinyakwisaaa

unanipeleka mpaka nafikaa

Umenikomesha mpaka nasemaa ahhh eee ii ooo uuu

Unanivundisha vya kinyakwisaaa

unanipeleka mpaka nafikaa

Umenikomesha mpaka nasemaa ahhh eee ii ooo uuu

it is a beautiful love it is a beautiful time X 3

We call it love we call it X 3

Telegram
Shares: